Islamic Calender

Powered by Blogger.

UMUHIMU WA KIJIFUNZA LUGHA YA QUR-AN:

Ili uweze kuifahamu Qur-aan kama Anavyokusudia Allaah (S.W), hakuna budi kuisoma kwa Lugha yake ya asili kwani Lugha ya Kiarabu ni Lugha pana, yenye ufasaha wa aina ya pekee na ndio maana Allaah (S.W) kwa hikma Yake, Akaichagua Lugha hii kuwa ni Lugha ya Qur-aan na kuituma kwa Mjumbe Mwarabu Muhammad (S.A.W).
 Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) anasema katika aya zifuatato

((Kwa Jina La Allaah, Mwingi Wa Rehma Mwenye Kurehemu Daima))

1.   ((Haa Miym)) ((Naapa kwa Kitabu kinachobainisha)) ((Hakika Sisi tumeifanya Qur-aan kwa Kiarabu ili mfahamu)) [Az-Zukhruf: 1-3]  



2.   Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni(ASH-SHURAA 7)



3.   Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.(Yusuf 2)


Asiyejua Lugha ya Qur-aan atakuwa ameharamishwa na utamu halisi wa ufahamu wa Qur-aan na Baraka zake
Wala haina tabu kujifunza Lugha hii ya Qur-aan ikiwa mtu atatilia juhudi kwani
Kwa hiyo hakutakuwa na hoja kwa mtu kutokuweza kujifunza Lugha hii tukufu ya Qur-aan na Siku ya Qiyaamah tutakaposimamishwa mbele ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) kuulizwa kwa nini tumeitupa Qur-aan au kwa nini hatukuisoma kwa kuipa haki ya kusomwa kwake, kila mmoja wetu itabidi ajibu swali hili na hatakuwa mtu na kisingizio kuwa hakupata njia za kujifunza Lugha hii ili afahamu kauli na maneno ya Mola wake Mtukufu.

ISLAMIC BOOKS by Ahmad



1-Brief of the Provision of the Hereafter Zad Almi'aad - Ibn Qay'em El-Jozeyah
Code:
http://rapidshare.com/files/240747553/A_Brief_of_the_Provision_of_the_Hereafter_Zad_Almi_aad_-_Ibn_Qay_em_El-Jozeyah.rar
or
http://www.4shared.com/file/108039469/e2567890/A_Brief_of_the_Provision_of_the_Hereafter_Zad_Almiaad_-_Ibn_Qayem_El-Jozeyah.html
2- An Index to the Qur'an
Code:
http://rapidshare.com/files/240753201/An_Index_to_the_Qur_an.rar
or
http://www.4shared.com/file/108044733/3df8df5f/An_Index_to_the_Quran.html

3- Answering those who altered the religion of Jesus Christ
Code:
http://rapidshare.com/files/240759707/Answering_those_who_altered_the_religion_of_Jesus_Christ.rar
or
http://www.4shared.com/file/108044966/3a7bf29f/Answering_those_who_altered_the_religion_of_Jesus_Christ.html
4- Book of Evidences, The Miracles of the Prophet
Code:
http://rapidshare.com/files/240766449/Book_of_Evidences__The_Miracles_of_the_Prophet.rar
or
http://www.4shared.com/file/108045824/9675be5/Book_of_Evidences_The_Miracles_of_the_Prophet.html
5- Bukhari - Muslim - Malik - Dawud Hadith Collection
Code:
http://rapidshare.com/files/240766450/Bukhari_-_Muslim_-_Malik_-_Dawud_Hadith_Collection.rar
or
http://www.4shared.com/file/108046149/3ce814bf/Bukhari_-_Muslim_-_Malik_-_Dawud_Hadith_Collection.html
6- Common Questions People Ask about Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240766451/Common_Questions_People_Ask_about_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108046705/55bfe122/Common_Questions_People_Ask_about_Islam.html
7- Conversational Arabic in 7 Days
Code:
http://rapidshare.com/files/240769448/Conversational_Arabic_in_7_Days.rar
or
http://www.4shared.com/file/108047203/2abe199/Conversational_Arabic_in_7_Days.html
8- Fiqh-us-Sunnah
Code:
http://rapidshare.com/files/240769449/Fiqh-us-Sunnah.rar
or
http://www.4shared.com/file/108047880/5eecbffd/Fiqh-us-Sunnah.html
9- Forty Hadith Qudsi
Code:
http://rapidshare.com/files/240745536/40_Hadeeth.rar
or
http://www.4shared.com/file/108039438/e826bc43/Forty_Hadeeth_Qudsi.html
Code:
http://rapidshare.com/files/240769450/Forty_Hadith_Qudsi.rar
or
http://www.4shared.com/file/108048041/d32e8189/Forty_Hadith_Qudsi.html
10- Gender Equity in Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240774331/Gender_Equity_in_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108048112/36924e41/Gender_Equity_in_Islam.html
11- Glossary of Islamic Terms and Concepts
Code:
http://rapidshare.com/files/240774332/Glossary_of_Islamic_Terms_and_Concepts_.rar
or
http://www.4shared.com/file/108048117/46f8bace/Glossary_of_Islamic_Terms_and_Concepts_.html
12- Help Yourself in Reading Holy Quran Arabic - English
Code:
http://rapidshare.com/files/240774333/Help_Yourself_in_Reading_Holy_Quran_Arabic_-_English.rar
or
http://www.4shared.com/file/108049528/42df3b25/Help_Yourself_in_Reading_Holy_Quran_Arabic_-_English.html
13- Ihya Ulum-id-din (Imam GHAZZALI)
Code:
http://rapidshare.com/files/240775870/IHYA_ULUM-ID-DIN.rar
or
http://www.4shared.com/file/108054242/3e159255/IHYA_ULUM-ID-DIN.html
14- Introduction To Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240775871/Introduction_To_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108054374/fd990e94/Introduction_To_Islam.html
15- Islam Religion History and Civilization
Code:
http://rapidshare.com/files/240775873/Islam_Religion_History_and_Civilization.rar
or
http://www.4shared.com/file/109740600/ba0e1b4a/Islam_Religion_History_and_Civilization.html
16- Khalid bin Al-Waleed
Code:
http://rapidshare.com/files/240775874/Khalid_bin_Al-Waleed.rar
or
http://www.4shared.com/file/108057883/fa85c7f7/Khalid_bin_Al-Waleed.html
17- Muvatta
Code:
http://rapidshare.com/files/240778339/Muvatta.rar
or
http://www.4shared.com/file/108058021/b8140fbf/Muvatta.html
18- Neighbours Rights
Code:
http://rapidshare.com/files/240778340/Neighbours_Rights.rar
or
http://www.4shared.com/file/108058131/a0cd54c9/Neighbours_Rights.html
19- Prayer - Al Salat
Code:
http://rapidshare.com/files/240778341/Prayer_-_Al_Salat.rar
or
http://www.4shared.com/file/108058440/9e403073/Prayer_-_Al_Salat.html
20- Qur'an Translations
Code:
http://rapidshare.com/files/240784404/Qur_an_Translations.rar
or
http://www.4shared.com/file/108058609/807499bd/Quran_Translations.html
\21- Sahihi Bukhari
Code:
http://rapidshare.com/files/240784405/Sahih_Bukhari__pdf_.rar
or
http://www.4shared.com/file/108059164/156c3366/Sahih_Bukhari__pdf_.html

Code:
http://rapidshare.com/files/240784406/Sahihi_Bukhari_.rar
or
http://www.4shared.com/file/108059323/ece0b7af/Sahihi_Bukhari_.html
22- Sahihi Muslim
Code:
http://rapidshare.com/files/240789986/Sahihi_Muslim.rar
or
http://www.4shared.com/file/108059566/fc6bfa96/Sahihi_Muslim.html

23- Shari‘ah Law - An Introduction
Code:
http://rapidshare.com/files/240789987/Shari_ah_Law_-_An_Introduction.rar
or
http://www.4shared.com/file/108059839/197b8011/Shariah_Law_-_An_Introduction.html
24- Syrian Colloquial Arabic
Code:
http://rapidshare.com/files/240789989/Syrian_Colloquial_Arabic.rar
or
http://www.4shared.com/file/108061540/a52a6f1e/Syrian_Colloquial_Arabic.html
25- Tafsir Ibn Kathir
Code:
http://rapidshare.com/files/240789992/Tafsir_Ibn_Kathir.rar
or
http://www.4shared.com/file/108062605/a1df4f22/Tafsir_Ibn_Kathir.html
26- Ten Misconceptions About Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240791616/Ten_Misconceptions_About_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108063081/d25a1ae4/Ten_Misconceptions_About_Islam.html
27- The Declaration of Faith
Code:
http://rapidshare.com/files/240791617/The_Declaration_of_Faith.rar
or
http://www.4shared.com/file/108063147/964e9aea/The_Declaration_of_Faith.html
28- The Ethics of Disagreement in Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240791618/The_Ethics_of_Disagreement_in_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108063201/19074482/The_Ethics_of_Disagreement_in_Islam.html
29- The Fundamentals of Tawheed
Code:
http://rapidshare.com/files/240797108/The_Fundamentals_of_Tawheed.rar
or
http://www.4shared.com/file/109740722/67f472d3/The_Fundamentals_of_Tawheed.html
30- The Islamic View of Jesus
Code:
http://rapidshare.com/files/240797109/The_Islamic_View_of_Jesus.rar
or
http://www.4shared.com/file/109741187/51407501/The_Islamic_View_of_Jesus.html
31- The Miracles of the Prophet Muhammad
Code:
http://rapidshare.com/files/240797110/The_Miracles_of_the_Prophet_Muhammad.rar
or
http://www.4shared.com/file/109741401/763198d7/The_Miracles_of_the_Prophet_Muhammad.html
32- The Muslim's Belief
Code:
http://rapidshare.com/files/240800349/The_Muslim_s_Belief.rar
or
http://www.4shared.com/file/109742058/6726d304/The_Muslims_Belief.html
33- The Ottoman Empire and the World Around it
Code:
http://rapidshare.com/files/240800350/The_Ottoman_Empire_and_the_World_Around_it.rar
or
http://www.4shared.com/file/109745254/f0c373f8/The_Ottoman_Empire_and_the_World_Around_it.html
34- The Pilgrimange and the Lesser Pilgrimange
Code:
http://rapidshare.com/files/240800351/The_Pilgrimange_and_the_Lesser_Pilgrimange.rar
or
http://www.4shared.com/file/109746170/d56bc4d4/The_Pilgrimange_and_the_Lesser_Pilgrimange.html
35- The Qur'an and Modern Science
Code:
http://rapidshare.com/files/240800352/THE_QUR_AN_AND_MODERN_SCIENCE.rar
or
http://www.4shared.com/file/109748735/253ffede/THE_QURAN_AND_MODERN_SCIENCE.html
36- The Rights and Duties of Women in Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240803967/The_Rights_and_Duties_of_Women_in_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/109748739/2c89b2f5/The_Rights_and_Duties_of_Women_in_Islam.html
37- The Status Of Woman In Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240803968/The_Status_Of_Woman_In_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/109749027/6fd9df53/The_Status_Of_Woman_In_Islam.html
38- The Virtues of the Qur'an
Code:
http://rapidshare.com/files/240803970/The_Virtues_of_the_Qur_an.rar
or
http://www.4shared.com/file/109749036/1c5de84/The_Virtues_of_the_Quran.html
39- The Wives of the Messenger of Allah
Code:
http://rapidshare.com/files/240808494/The_Wives_of_the_Messenger_of_Allah.rar
or
http://www.4shared.com/file/109749065/e5bb7b7b/The_Wives_of_the_Messenger_of_Allah.html
40- Various Hadith Books - (Abu Dawud-Muslim-Muwatta-Tirmidhi)
Code:
http://rapidshare.com/files/240808496/Various_Hadith_Books_-__Abu_Dawud-Muslim-Muwatta-Tirmidhi_.rar
or
http://www.4shared.com/file/109749379/f750b848/Various_Hadith_Books_-__Abu_Dawud-Muslim-Muwatta-Tirmidhi_.html
41- Warning Against the Fitnah of Takfeer
Code:
http://rapidshare.com/files/240808497/Warning_Against_the_Fitnah_of_Takfeer.rar
or
http://www.4shared.com/file/109749916/3c228789/Warning_Against_the_Fitnah_of_Takfeer.html
42- Why Islam - Proofs of Modern Science
Code:
http://rapidshare.com/files/240808498/Why_Islam_-_Proofs_of_Modern_Science.rar
or
http://www.4shared.com/file/109751868/6dcd5721/Why_Islam_-_Proofs_of_Modern_Science.html
43- Why the Prophet Muhammad Married More Than One
Code:
http://rapidshare.com/files/240808500/Why_the_Prophet_Muhammad_Married_More_Than_One.rar
or
http://www.4shared.com/file/109752021/6cdbd4d7/Why_the_Prophet_Muhammad_Married_More_Than_One.html
44- A Vocabulary, Persian, Arabic and English
Code:
http://rapidshare.com/files/240821938/A_Vocabulary__Persian__Arabic_and_English.rar
or
http://www.4shared.com/file/108040065/23c10ffd/A_Vocabulary_Persian_Arabic_and_English.html
45- AL-MAWRID - Modern Arabic English Dictionary
Code:
http://rapidshare.com/files/240921221/AL-MAWRID_-_Modern_Arabic_English_Dictionary.rar
or
http://www.4shared.com/file/108042272/d33b7fa/AL-MAWRID_-_Modern_Arabic_English_Dictionary.html
46- Grammar of the Arabic Language
Code:
http://rapidshare.com/files/240925746/Grammar_of_the_Arabic_Language.rar
or
http://www.4shared.com/file/108048159/c52c52cd/Grammar_of_the_Arabic_Language.html
47- Historical Atlas of Islam
Code:
http://rapidshare.com/files/240944434/Historical_Atlas_of_Islam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108050088/fe93777e/Historical_Atlas_of_Islam.html
48- Islamic Fatawa Regarding Women
Code:
http://rapidshare.com/files/240956857/Islamic_Fatawa_Regarding_Women.rar
or
http://www.4shared.com/file/108054598/6e211383/Islamic_Fatawa_Regarding_Women.html
49- Stories of the Prophets
Code:
http://rapidshare.com/files/241049998/Stories_of_the_Prophets.rar
or
http://www.4shared.com/file/108060062/c765c93e/Stories_of_the_Prophets.html
50- The Family Structure in lslam
Code:
http://rapidshare.com/files/241063917/The_Family_Structure_in_lslam.rar
or
http://www.4shared.com/file/108063292/51ccae71/The_Family_Structure_in_lslam.html
51- The Noble Quran
Code:
http://rapidshare.com/files/241070369/The_Noble_Quran_.rar
or
http://www.4shared.com/file/109742062/acde69d9/The_Noble_Quran_.html
52- The Prophetic Medicine
Code:
http://rapidshare.com/files/241082909/The_Prophetic_Medicine.rar
or
http://www.4shared.com/file/109746553/795d5f30/The_Prophetic_Medicine.html
53- Wehr English & Arabic Dictionary
Code:
http://rapidshare.com/files/241088303/Wehr_English___Arabic_Dictionary.rar
or
http://www.4shared.com/file/109749920/fe6c717f/Wehr_English__Arabic_Dictionary.html 

......Posted by Brother .Ahmad......


KAULI ZA WEMA WALIOTANGULIA KUHUSIANA NA BID’AH


Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:
Yeyote anayezua au akampokea vizuri mzushi (mtu wa bid’ah) basi juu yake laana ya Allaah, malaika Wake, na ummah mzima [Imepokewa na Al-Bukhaariy (12/41) na Muslim (9/140)]

Ibn ‘Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema:
“Kila jambo la uzushi ni upotofu, hata kama watu wataliona kuwa ni jambo zuri.”
[Imepokewa na Abu Shaamah, uk. 39]


Ibn ‘Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) amesema:
“Kwa hakika jambo la kuchukiza zaidi mbele ya Allaah ni mambo ya uzushi”
[Imepokewa na al- Bayhaqiy katika as-Sunan al-Kubraa (4/316)]


Sufyaan ath-Thawriy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Mambo ya uzushi yanampendeza zaidi Shaytwaan kuliko dhambi, kwani mtu hutubia kutokana na madhambi yake lakini hatubii kwa mambo ya uzushi.”
[Imepokewa na al-Laalikaa’iy katika Sharh Uswuul I’tiqaad Ahlis-Sunnah wal-Jamaa’ah (uk. 238)]


Abu Haatim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Alama ya watu wa bid’ah ni kule kupingana kwao na watu wapokezi wa riwaya.”
[Imepokewa na al-Laalikaa’iy katika Sharh Uswuul I’tiqaad Ahlis-Sunnah wal-Jamaa’ah Mj. 1, uk. 179]


Sufyaan ath-Thawriy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Yeyote anayemsikiliza mzushi basi atakuwa ameondoka katika hifadhi ya Allaah na amejiunga na mambo ya uzushi.” [Imepokewa na Abu Nu’aym katika al-Hilyah (7/26) na Ibn Battah (na. 444)]


Ibrahiym bin Maysarah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Yeyote anayemtukuza mzushi basi atakuwa amesaidia katika kuuangamiza Uislamu”
[Imepokewa na al-Laalikaa’iy katika Sharh Uswuul I’tiqaad Ahlis-Sunnah wal-Jamaa’ah (1/139)]


Al-Awzaa’iy (Rahimahu Allaah) amesema kuwa:
‘Umar bin ‘Abdil-‘Aziyz (Rahimahu Allaah) amesema:
“Mtakapoona watu wakikutana kisiri kuhusu mambo ya dini juu ya jambo lolote pasi na kuwahusisha watu wa kawaida – basi jueni ya kwamba hao wako katika misingi ya upotofu”
[Imepokewa na al Laalikaa’iy katika Sharh Uswuul I’tiqaad Ahlis-Sunnah wal-Jamaa’ah (uk. 251)]


Al-Hasan al-Baswriy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Msishiriki katika vikao vya watu wa bida'h (uzushi) na (watu) wenye kufuata matamanio yao, wala msibishane nao, wala msiwasikilize.”
[Imepokewa katika Sunan ad- Daarimiy (1/121)]


Al-Fudhayl bin ‘Iyaad (Rahimahu Allaah) amesema:
“Nilikutana na watu walio bora, wote walikuwa ni watu walioshikamana na sunnah na walikuwa wakikataza kuandamana na watu wa bida'h. ”
[Imepokewa na al-Laalikaa’iy katika Sharh Uswuul I’tiqaad Ahlis-Sunnah wal-Jamaa’ah (uk. 267)]


Imaam Abu Haniyfah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Shikamana na Hadiyth na njia ya Salafus-Swaalih (watangulizi wema), na jihadhari na mambo mapya yanayozuliwa, kwani yote hayo ni bid’ah.”
[Imepokewa na as-Suyutiy katika Sawnul Muntaq uk. 32]


Imaam Maalik (Rahimahu Allaah) amesema:
“Yeyote anayeanzisha katika Uislamu jambo la uzushi, na akalidhania kuwa ni zuri, basi huyo amedai ya kwamba Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amefanya khiyana katika (amana ya kuufikiliza) ujumbe.”


Amesema tena:
“Uovu ulioje walionao watu wazushi, hatuwapi hata salaam!”
[Imepokewa na al-Baghawiy katika Sharh us-Sunnah (1/234)]


Imaam ash-Shaafi’iy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Mtu akutane na Allaah awe amefanya kila aina ya dhambi isipokuwa Shirki tu, ni bora kuliko kukutana na Allaah na ‘Ibaadah yoyote katika bid’ah.”
[Imepokewa na al-Bayhaqiy katika al-I’tiqaad (uk.158)]


Al-Layth bin Sa’ad (Rahimahu Allaah) amesema:
“Hata kama ningelimuona mtu wa hawaa (mwenye kufuata matamanio ya nafsi – yaani mtu wa bid’ah) anatembea juu ya maji, nisingelimkubali”

Imaam ash-Shaafi’iy (Rahimahu Allaah) aliposikia hayo ya al-Layth, naye akasema:
“Yeye (al-Layth) ameteleza kidogo (katika maneno yake). Mimi hata kama ningelimuona anatembea angani, nisingelikubali chochote kutoka kwake.”
[Imepokewa na as-Suyuutiy katika al-Amr bil 'Ittibaa wan-Nahyi ‘anil Ibtidaa']


Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) amesema:
“Katika nguzo muhimu za Sunnah kwetu sisi ni kujiepusha na mambo ya kuzua; na kila jambo la uzushi ni upotofu.”
[Katika kitabu chake Uswuul as-Sunnah uk. 1]

 

Website Hit